Mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Ivory Coast, kwa sasa amebakiza miezi mitano kabla ya kumaliza rasmi mkataba wake ndani ya timu hiyo na sasa anataka apewe fedha za uhakika.
Drogba ametaka alipwe fedha hizo, ambazo zitakuwa ni mshahara kamili baada ya kuondolewa makato yote