Friday, March 9, 2012

Drogba ataka mawe zaid chelsea

MSHAMBULIAJI wa Chelsea, Didier Drogba kwa sasa anataka mamilioni ya fedha kwa ajili ya kubaki ndani ya timu hiyo, akitaka apewe kiasi cha pauni milioni 6 kwa mwaka, ikiwa ni baada ya makato ya kodi.

Mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Ivory Coast, kwa sasa amebakiza miezi mitano kabla ya kumaliza rasmi mkataba wake ndani ya timu hiyo na sasa anataka apewe fedha za uhakika.

Drogba ametaka alipwe fedha hizo, ambazo zitakuwa ni mshahara kamili baada ya kuondolewa makato yote