Monday, March 12, 2012

Suarez ajipendekeza mwenyewe PSG

Klabu ya Liverpool ya Uingereza imeshtushwa na taarifa za mshambuliaji wao wa Kutegemewa Luis Suarez kutamani kucheza pamoja na mchezaji mwenzake wa Urguay Diego Lugano anayekipiga kunako klabu ya PSG.

Suarez aliuambia mtandao wa 10 Sport kwamba “Ningependa kucheza klabu moja nae (Lugano). Ndio naweza kuja Paris.Kuna klabu nyingi zenye pesa ambazo zina