Monday, March 12, 2012

Manchester United kileleni

Wayne Rooney ameiweka Manchester United kileleni kwenye msimamo wa ligi kwa tofauti ya pointi moja baada ya kushinda mchezo wao wa Ligi Kuu ya Uingereza dhidi ya West Bromwich Albion 2-0 katika uwanja wa Old Trafford, matokeo ambayo yamepokewa kwa furaha zaidi na mashabiki wa United hasa baada ya mahasimu wao wakubwa na waliokuwa wakiongoza ligi, Manchester City kukubali kipigo cha 1-0 nyumbani kwa Swansea City.

Kwa matokeo hayo, United wamefikisha jumla ya pointi 67 huku City akibaki na pointi zake 66.

Mchezo mwingine ambao umeanza hivi punde unazikutanisha Norwich City wanaoikaribisha Wigan Athletic.

2011-2012 LIGI KUU YA BARCLAYS

Kwa ujumla
Nyumbani
Ugenini

Nafasi
Timu P W D L F A
W D L F A
W D L F A
GD Pts
1 Manchester United 28 21 4 3 68 27
11 1 2 39 15
10 3 1 29 12
41 67
2 Manchester City 28 21 3 4 69 20
14 0 0 42 6
7 3 4 27 14
49 66
3 Tottenham Hotspur 28 16 5 7 52 34
10 2 2 30 13
6 3 5 22 21
18 53
4 Arsenal 27 15 4 8 55 38
9 2 2 29 11
6 2 6 26 27
17 49